Kumtumaini Yesu
Availability: In stock
Regular Price
AED 50.00
Special Price
AED 47.50
Kitabu hiki, Kumtumaini Yesu, ni mkusanyiko wa mahubiri ya kusisimua yanayochochea matumaini, faraja na ukuaji kiroho kwa kila mtu--mkubwa na mdogo. Hotuba hizi za pekee zilizobadilisha maisha ya watu wengi Afrika na Amerika ya Kaskazini zimejengwa katika Biblia, Agano Jipya. Msomaji anapozisoma atapata muonjo wa kile ambacho kiliwafanya maelfu ya watu waliomsikiliza Mchungaji Christopher Mwashinga akihubiri wafurike kumsikiliza. Ni matumaini yetu kwamba msomaji atapata uzoefu mpya kabisa asomapo mahubiri haya na kufurahia utamu wa Neno la Mungu liwaongozao wanadamu katika kumjua Mungu wa pekee wa kweli na Yesu Kristo aliyemtuma (Yoh. 17:3).
Publisher Name | Independently Published |
---|---|
Author Name | Hagendorf, Col |
Format | Audio |
Bisac Subject Major | REL |
Language | NG |
Isbn 13 | 9798664536096 |
Target Age Group | min:NA, max:NA |
Dimensions | 00.90" H x 20.05" L x 98.00" W |
Page Count | 206 |
Write Your Own Review
Recommended Products